Mkurugenzi Mkuu wa shirika la habari Tanzania TBC1 Dr Ayub Ryoba Chacha akiingia makubaliano Na C.E.O wa High Table Sound Bw. Elias Barnaba kwa ajili ya kuimba na kuwatungia nyimbo moja moja kila mshindi wa kwanza na mshindi wa pili wa CLUB RAHA LEO SHOW msimu wa Tatu. Kulia kwa Barnaba ni mshindi wa jumla Rajab Saidi na kushoto KWA Dr Ryoba ni Amiri Amidu.
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la habari Tanzania TBC1 Dr Ayub Ryoba Chacha baada ya kuingia makubaliano Na C.E.O wa High Table Sound Bw. Elias Barnaba kwa ajili ya kuimba na kuwatungia nyimbo moja moja mshindi wa kwanza na mshindi wa pili wa CLUB RAHA LEO SHOW msimu wa Tatu. Kulia kwa Barnaba ni mshindi wa jumla Rajab Saidi na kushoto KWA Dr Ryoba ni Amiri Amidu.
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la habari Tanzania TBC1 Dr Ayub Ryoba Chacha akifurahia makubaliano Na C.E.O wa High Table Sound Elias Barnaba kwa ajili ya kuimba na kuwatungia nyimbo moja moja mshindi wa kwanza na mshindi wa pili wa CLUB RAHA LEO SHOW msimu wa Tatu. Kulia kwa Barnaba ni mshindi wa jumla Rajab Saidi na kushoto KWA Dr Ryoba ni Amiri Amidu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...