Mkurugenzi Mkuu wa shirika la habari Tanzania TBC1 Dr Ayub Ryoba Chacha akiingia makubaliano Na C.E.O wa High Table Sound Bw.  Elias Barnaba kwa ajili ya kuimba na kuwatungia nyimbo moja moja kila mshindi wa kwanza na mshindi wa pili wa CLUB RAHA LEO SHOW msimu wa Tatu. Kulia kwa Barnaba ni mshindi wa jumla  Rajab Saidi na  kushoto KWA Dr Ryoba ni Amiri Amidu.
  Mkurugenzi Mkuu wa shirika la habari Tanzania TBC1 Dr Ayub Ryoba Chacha baada ya kuingia makubaliano Na C.E.O wa High Table Sound Bw.  Elias Barnaba kwa ajili ya kuimba na kuwatungia nyimbo moja moja mshindi wa kwanza na mshindi wa pili wa CLUB RAHA LEO SHOW msimu wa Tatu. Kulia kwa Barnaba ni mshindi wa jumla  Rajab Saidi na  kushoto KWA Dr Ryoba ni Amiri Amidu.
 Mkurugenzi Mkuu wa shirika la habari Tanzania TBC1 Dr Ayub Ryoba Chacha akifurahia makubaliano Na C.E.O wa High Table Sound Elias Barnaba kwa ajili ya kuimba na kuwatungia nyimbo moja moja  mshindi wa kwanza na mshindi wa pili wa CLUB RAHA LEO SHOW msimu wa Tatu. Kulia kwa Barnaba ni mshindi wa jumla  Rajab Saidi na  kushoto KWA Dr Ryoba ni Amiri Amidu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...