Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Fadhili Nkurlu amezindua kifaa cha kubaini moto ukiwa katika hatua ya moshi (smoke detector) wilayani humo. Tukio hili limefanyika katika shule ya sekondari Dakama ambapo Mhe. Nkurlu amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote tatu  za wilaya ya Kahama kuhakikisha kwamba kifaa hicho kinafungwa kwenye shule na mabweni yote ili kutekeleza agizo la serikali la kupambana na moto mashuleni.
Wanafunzi wa shule ya sekondari Dakama wakijifunza namna ya kutumia  kifaa cha kubaini moto ukiwa katika hatua ya moshi (smoke detector)
 Wanafunzi wa shule ya sekondari Dakama wakioneshwa  namna ya   kifaa cha kubaini moto ukiwa katika hatua ya moshi (smoke detector) kinavyofanya kazi
  Wanafunzi wa shule ya sekondari Dakama wakiwasha moto kukijaribu  kifaa cha kubaini moto ukiwa katika hatua ya moshi (smoke detector)
 Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Fadhili Nkurlu akiwa na Wanafunzi wa shule ya sekondari Dakama wakati wa kujifunza namna ya kutumia kifaa cha kubaini moto ukiwa katika hatua ya moshi (smoke detector)
 Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Fadhili Nkurlu akielekeza wanafunzi wa shule ya sekondari Dakama wakati wa kujifunza namna ya kutumia kifaa cha kubaini moto ukiwa katika hatua ya moshi (smoke detector)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...