Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (mwenye kofia nyekundu), ambaye pia alikua ni mgeni rasmi katika Mahafali ya 42 ya chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) akiwa na Mkuu Wa Chuo hicho Profesa Taadeo Andrew Satta, (mwenye kofia nyeusi) wakiwa wako tayari kwaajili ya kuanza msafara wa kuelekea katika viwanja vya Karemjee jijini Dar es Salaam kwaajili ya ufunguzi wa mahafali hayo ya achuo hicho.
Mgeni rasmi katika katika Mahafali ya 42 ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) nchini, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akizungumza na wahitimu wa ngazi mbalimbali wa chuo hicho (hawako pichani) katika viwanja vya Karemjee jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii.
Mgeni rasmi katika Mahafali ya 42 ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) nchini, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akimpongeza Rehema Sibuga mhitimu mmoja kati ya wahitimu wengine waliofanya vizuri zaidi katika miaka yote masomo yao chuoni hapo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...