Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akisalimiana na baadhi ya walimu wa shule ya sekondari ya Songea Boys wakati wa ziara yake shuleni hapo ili kuona hali halisi ya wanafunzi wenye mahitaji maalum Novemba 26, 2016 Mkoani Ruvuma.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akizungumza jambo na baadhi ya Watendaji wa Serikali katika Ofisi ya Shule ya Sekondari ya Songea Boys alipotembelea kwa lengo la kuangalia vituo na shule zinazohudumia watu wenye ulemavua Wilayani Songea mkoa wa Ruvuma.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akizungumza na baadhi ya wanafunzi ya shule ya Sekondari ya Songea Boys wakati wa ziara yake shuleni hapo Novemba 26, 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...