Mwanachama mpya akikamilisha taratibu za kujiunga na NSSF, wakati wa maonyesho ya Financial Services Expo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Mwanachama aliyejiunga na NSSF akikamilisha taratibu za kujiunga na NSSF kwa kuweka alama ya dole gumba katika fomu yake.
Afisa Uendeshaji Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abas Cothema (kushoto), akitoa elimu kwa mwanachama wa NSSF wakati  wa maonyesho ya Financial Services Expo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
 Mmoja wa wadau aliyetembelea maonyesho hayo akipitia taarfa za NSSF.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...