Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Manispaa Ubungo leo jijini Dar es Salaam kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Humphrey Polepole. Mhe Makonda yupo katika ziara ya siku 10 jijini Dar es Salaam kwaajili ya kusikiliza kero za wananchi.
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Humphrey akimkaribisha Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kuzungumza na watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Manispaa Ubungo leo jijini Dar es Salaam

Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Manispaa Ubungo wakimsikiliza Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...