Mkuu wa mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo akitembelea hifadhi ya msitu wa Uzigua akiwa ameambatana na kamanda wa polisi mkoani Pwani Boniventure Mushongi, mkuu wa wilaya ya Bagamoyo alhaj Majid Mwanga na viongozi wengine kutoka mkoa,wilaya na wakala wa misitu (TFS)kanda ya Mashariki.
Mkuu wa mkoa wa Pwani mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza jambo wakati ilipokwenda kutembelea hifadhi ya msitu wa Uzigua na kutoa agizo kwa waliwavamia waondoke Mara moja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...