Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe: Paul Makonda akijibu kero za wananchi
aliposimama na msafara wake eneo la Kibada Wilaya ya Kigamboni jijini
Dar es Salaam.
Mkazi wa Kibada, Bi Siwazuri Abdalah akimuelezea Makonda kero anazozipata katika Hospital ya kibada.
Mkuu
wa Idara ya Uifadhi wa Mazingira na Usimamizi wa Taka Ngumu, Fanuel
Kibera akimuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda
(katikati), mchoro wa dampo la kisasa litakalojengwa eneo la Kisarawe
II Kigamboni.
Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ukiwa eneo la Kisarawe II.
Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe: Paul Makonda (katikati), akiwa amefuatana
na Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa, na Mkurugenzi wa
Kiwanda cha maji na maziwa (MILKCOM), Said Nahdi (mwenye kanzu) wakiwa
ndani ya kiwanda hicho wakikagua shughuli za kiwanda hicho.
Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe: Paul Makonda akiweka jiwe la msingi la
ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa shule ya msingi Tunduwi Songani.
Wananchi wa Tunduwi Songani wakishuhudia uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa shule ya msingi .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...