Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa Tatu kulia) akiwa  katika mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka uliopo kata ya Ruanda mkoani Ruvuma ambapo  aliambatana na watendaji mbalimbali kutoka viwanda vya simenti vinavyotumia makaa ya mawe, Chama cha Wamiliki wa Malori (TATOA), Wazalishaji wa Makaa ya Mawe, Watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na viongozi kutoka  Mkoa wa Ruvuma.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa tatu kushoto) akipata maelezo kuhusu briketi za makaa ya mawe zinazotengenezwa na kikundi cha Wanawake cha Mbarawala kwa  ajili ya kupikia. Kikundi  kinafadhiliwa na kampuni ya TANCOAL inayomiliki Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka ulipo mkoani Ruvuma.  Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Mbinga Cosmas Nsheye, wa pili kushoto ni Kaimu Kamishna wa Madini, Mhandisi Ally Samaje. Anayetoa maelezo ni Meneja Uendeshaji wa Kikundi hicho, Hajiri Kapinga. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...