Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Bibi. Maria  Sasabo( wa pili kushoto) akipata maelekezo kutoka kwa mmoja wa watendaji wa kampuni ya Startimes Tanzania jinsi ya televisheni za kidijitali zinavyofanya kazi wakati wa hafla ya uzinduzi wa televisheni hizo uliofanyika Novemba 16,2016 Jijini Dar es Salaam.

  Mkurugenzi Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. Leo Liao (kulia) akimueleza jambo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Bibi. Maria  Sasabo(kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi wa televisheni za kidigitali kutoka kampuni ya StarTimes Tanzania uliofanyika Novemba 16,2016 Jijini Dar es Salaam.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Bibi. Maria Sasabo akizungumza na wadau sekta ya Habari na Mawasiliano wakati wa hafla ya uzinduzi wa televisheni ya kidigitali kutoka kampuni ya Startimes Tanzania uliofanyika Novemba 16, 2016 Jijini Dar es Salaam.
 Meneja Masoko na Mahusiano wa StarTimes Tanzania Bw. Juma Sharobaro akizungumza wakati wa kuchezesha bahati nasibu ya kumpata mshindi wa moja ya televisheni za kidigitali katika hafla ya uzinduzi wa televisheni hizo uliofanyika Novemba 16, 2016 Jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. Leo Liao(kushoto) akikabidhi zawadi ya moja ya televisheni za kidigitali yenye upana wa inchi 40 kwa mshindi wa televisheni hiyo Bw.John Paul  wakati wa hafla ya uzinduzi wa televisheni hizo uliofanyika Novemba 16,2016 Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...