Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Uwekezaji, Profesa Adolf Mkenda (kulia) akifungua majadiliano yaliyohusu kuongeza kasi ya ubunifu na ukuaji wa wajasiriamali kupitia sera wezeshi zenye kutekelezeka, (wa pili kulia) Meneja Mradi wa BEST-DIALOGUE, Bw.Hans Determeyer , (katikati) ni Mkurugenzi wa Program ya Kimataifa ya SEPT, Profesa Utz Donberger, (wa pili kushoto) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF),Bw. Godfrey Simbeye na (kushoto) ni Mkuu wa Kitivo cha Biashara Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS),Dk. Ulingeta Mbamba.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF),Bw. Godfrey Simbeye (kulia) akitoa taarifa juu ya maendeleo ya sekta binafsi nchini, wakati wa majadiliano yaliyohusu kuongeza kasi ya ubunifu na ukuaji wa wajasiriamali kupitia sera wezeshi zenye kutekelezeka, wa pili kulia Meneja Mradi wa BEST-DIALOGUE, Bw.Hans Determeyer , katikati ni Mkurugenzi wa Program ya Kimataifa ya SEPT,Profesa Utz Donberger, (wa pili kushoto) ni Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Uwekezaji ,Profesa Adolf Mkenda na kushoto ni Mkuu wa Kitivo cha Biashara Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) ,Dk. Ulingeta Mbamba.
Wadau wa masuala ya biashara wa ndani na nje ya nchi wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa majadiliano iliyotolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Uwekezaji ,Profesa Adolf Mkenda (hayupo pichani), wakati wa majadiliano yaliyohusu kuongeza kasi ya ubunifu na ukuaji wa wajasiriamali kupitia sera wezeshi zenye kutekelezeka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...