Maafisa Watendaji wa Shirika la Magereza wakifuatilia majadiliano ya uanzishwaji wa Kiwanda cha nguo aina mbalimbali ikiwemo sare za Majeshi ya Ulinzi na Usalama hapa nchini. Kikao hicho kimefanyika Novemba 25, 2016 katika Ukumbi wa GEPF Jijini Dar es Salaam. 
  Maafisa Watendaji Wakuu wa Mfuko wa Jamii wa GEPF wakijadiliana katika kikao hicho cha kazi(katikati) ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Mfuko huo, Bw. Festo Fule.
 Kikao kikiendelea katika Ukumbi wa GEPF Jijini Dar es Salaam kama wanavyoonekana katika picha.
Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wakiondoka katika viunga vya Ofisi za Mfuko wa Jamii wa GEPF mara baada ya kikao kazi(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...