Hatua ya robo fainali kwa upande wa wanaume na nusu fainali kwa wanawake kwa mpira wa kikapu SHIWATA CUP linatarajia kuendelea tena Novemba 26 mwaka huu kwenye uwanja wa ndani wa Taifa kwa timu zote .
Mechi hizo zitakazoanza asubuhi saa mbili zitakuwa ni kati ya;
VIJANA/Q VS UKONGA/Q.
UKONGA/Q VS OILERS/P.
OILERS VS CHUI.
TM/ROCKETS VS KURASINI /H.
IFM VS KIGAMBONI /W.
JOGOO VS CHANGOMBE/T
Mbali na hilo matokeo ya ya michezo ya jana ya Shiwata Cup yaliyofikisha timu hizo kuingia kwenye hatua hiyo ni
TM ROCKETS 76-61UKONGA/W
VUJANA/Q 88-45 OILERS /P.
OIKERS 115/42 MONTFORT.
CBE 31/78 IFM.
SEGEREA 70/76 KIGAMBONI /W.
KIJICHI/W 0/20 JOGOO.
KURASINI/H 20/0 LORD/BP
imetolewa na
Manasseh Zablon
MWENYEKITI WA MASHINDANO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...