Hatua ya robo fainali kwa upande wa wanaume na nusu fainali kwa wanawake kwa mpira wa kikapu SHIWATA CUP linatarajia kuendelea tena Novemba 26 mwaka huu kwenye uwanja wa ndani wa Taifa kwa timu zote .
Mechi hizo zitakazoanza asubuhi saa mbili zitakuwa ni kati ya;

VIJANA/Q VS UKONGA/Q.
 UKONGA/Q VS OILERS/P.
OILERS  VS CHUI. 
TM/ROCKETS VS KURASINI /H. 
 IFM VS KIGAMBONI /W.
JOGOO  VS CHANGOMBE/T


Mbali na hilo matokeo ya  ya michezo ya jana ya Shiwata Cup yaliyofikisha timu hizo kuingia kwenye hatua hiyo ni 

TM ROCKETS  76-61UKONGA/W
VUJANA/Q 88-45 OILERS /P. 
OIKERS 115/42 MONTFORT. 
CBE 31/78 IFM. 
SEGEREA 70/76 KIGAMBONI /W. 
KIJICHI/W 0/20 JOGOO.
KURASINI/H 20/0 LORD/BP

imetolewa na
Manasseh  Zablon 
MWENYEKITI WA MASHINDANO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...