SIMU.TV: Baadhi ya wabunge wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania wasema mpango wa maendeleo wa 2017/2018 hauendani na maisha halisi ya kiuchumi iliyopo. https://youtu.be/edp2ikv8PSA

SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema leo ameongoza zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo wanaopanga bidhaa kando kando ya  barabara za mwendo kasi. https://youtu.be/wrBYOxEA6co

SIMU.TV: Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zinatarajia kuanza kutumia hati ya pamoja ya kusafiria kwa raia wa nchi hizi kuanzia Januari mwaka 2017. https://youtu.be/YGbQQxxmkiE

SIMU.TV: Serikali imekemea tabia ya baadhi ya wafanyakazi wake kutotekeleza majukumu yao kikamilifu ukilinganisha na wafanyakazi wa makampuni binafsi. https://youtu.be/RoDpF_kWu-M

SIMU.TV: Halmashauri ya manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam imekifunga kituo cha mabasi cha Mbagala baada ya kugundulika kuendeshwa kinyume na sheria. https://youtu.be/jjSTD9pYoyY 

SIMU.TV: Mtoto Lengai Godi mwenye miaka mitatu amelazwa katika idara ya Mifupa MOI hospitali ya taifa ya Muhimbili baada ya kushambuliwa na baba yake mkubwa kufuatia ugomvi wa kifamilia. https://youtu.be/KJcaXl4CZ64

SIMU.TV: Kampuni ya Vodacom Tanzania imezindua simu mpya yenye uwezo mkubwa wa kuunganisha mtandao wa kasi ya 4G. https://youtu.be/NGcO6ahgkPg

SIMU.TV: Shirika la nyumba la taifa NHC limepata mkopo wa zaidi ya shilingi bilioni 60 kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya nyumba za makazi na mahoteli. https://youtu.be/v7gP4SuDRyE

SIMU.TV: Mamia ya waombolezaji wamejitokeza kwenye maziko ya bondia wa Thomas Mashali yaliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. https://youtu.be/ofbCU98jgeo

SIMU.TV: Klabu ya Simba imeendelea kuongeza kasi ya kulifukizia kombe la ligi kuu Tanzania bara baada ya kuifunga Stand United  bao moja kwa bila. https://youtu.be/hsHZlhfwwSs

SIMU.TV: Makocha wa timu za wanawake zinazoshiriki ligi kuu ya wananwake nchini wameomba wadu kujitokeza kuzisaidia vifaa timu hizo. https://youtu.be/DxfhB-us8uI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...