SIMU.TV: Spika mstaafu Anne Makinda ameiomba serikali kuharakisha mchakato wa marekebisho ya sheria ya ndoa ya mwaka 1971 ili kuongeza nguvu katika kupambana na ukatili wa kijinsia nchini. https://youtu.be/d4zLkiFJGXs
SIMU.TV: Hospitali ya taifa ya Muhimbili inatarajiwa kuanza kufanya uchunguzi wa homa ya ini na kutoa matibabu kwa ugonjwa huo kuanzia mwezi desemba mwaka huu. https://youtu.be/-asVqQ8p2jk
SIMU.TV: Shirika la mfuko wa hifadhi ya jamii la NSSF limeendelea kuwaondoa wadaiwa sugu walionunua nyumba na kushindwa kulipia katika maeneo ya Mtoni Kijichi. https://youtu.be/9Bhi3U1Z2KM
SIMU.TV: Shirika la maji safi na maji taka jijini Dar es Salaam DAWASCO limeombwa kushughulikia tatizo la maji taka yanayotiririka katika hospitali ya Apolo. https://youtu.be/87PPbETGFD4
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...