SIMU.TV: Tanzania imeungana na jamii ya kimataifa kuadhimisha siku kumi na sita za kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na kuahidi kufanyia marekebisho ya sheria ya ndoa ili kuondokana na ndoa za utotoni. https://youtu.be/DzBTeSQ8eP0

SIMU.TV: Wenyeviti wa mitaa pamoja na watendaji wa jiji la Dar es Salaam wameendelea kujikuta matatani baada ya kubainika kuuza viwanja kinyume na sheria. https://youtu.be/Fq-pg8LgL6w

SIMU.TV: Bodi ya wakurugenzi wa shirika la ndege ATCL imewaondoa baadhi ya wakurugenzi baada ya kugundulika kuwa na kiwango dhaifu vya elimu. https://youtu.be/0G_igIwZ8VE

SIMU.TV: Mgogoro wa mwekezaji wa kampuni ya Tanzanite one na wakazi wa kata ya Naisinyai wilayani Simanjiro umemalizika baada ya mwekezaji huyo kutimiza madai ya wananchi. https://youtu.be/2CzUTW7vUOc

SIMU.TV: Wakala wa majengo nchini TBA umekabidhi majengo mawili yaliyopo Ocean Road kwa ofisi ya mpango wa kurasimisha biashara za wanyonge Tanzania MKURABITA baada ya kuwa na uhaba wa ofisi za kutosha kwa muda mrefu. https://youtu.be/7jCFL-9NX7Y

SIMU.TV: Watanzania wametakiwa kuchangamkia fursa za kibiashara katika masoko ya nchi za kiarabu ili kuweza  kujikwamua kiuchumi. https://youtu.be/H4q3A4_eY1g

SIMU.TV: Makamu wa pili wa rais wa serikali ya mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Idd ameitaka serikali kutafsiri vitabu vinavyoelezea utalii kwa lugha mbalimbali ili kupata wageni kutoka nchi mbalimbali. https://youtu.be/npXn22n0XXQ

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa rai kwa wawekezaji kuwekeza eneo la Kogamboni ambako kuna viwanja vingi kwa ajili ya uwekezaji. https://youtu.be/6vLz5YWnQX8

SIMU.TV: Ligi ya vijana nchini imeendelea leo wakati timu ya vijana ya Azam Fc imetoshana nguvu na Timu ya vijana ya African Lyon. https://youtu.be/2ptC8rBY0xI

SIMU.TV: Klabu ya Soka ya Yanga leo imemtambulisha rasmi kocha mpya George Lwandamina ambapo ameahidi kushirikiana bega kwa began a uongozi wa timu hiyo ili kupata matokeo mazuri. https://youtu.be/BKJdOkBdYqY

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...