ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara Said Mohamed amefariki dunia leo  katika Hospitali ya Agha khan alipokuwa amelazwa kwa matibabu.

Mzee Said Mohamed aliwahi kuwa Meneja mkuu wa Kampuni ya  Azam na  mwenyekiti wa Azam Fc. Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.

Blog ya Jamii inatoa  pole kwa ndugu na familia ya marehemu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...