ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara Said Mohamed amefariki dunia leo katika Hospitali ya Agha khan alipokuwa amelazwa kwa matibabu.
Mzee Said Mohamed aliwahi kuwa Meneja mkuu wa Kampuni ya Azam na mwenyekiti wa Azam Fc. Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.
Blog ya Jamii inatoa pole kwa ndugu na familia ya marehemu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...