Kaimu Mkurugenzi Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini(TPDC) Mhandisi Kapulya Musomba akizungumza na waandishi wa habari kukanushaTaarifa zinazoenezwa na kampuni ya Dangote pamoja na washirika wake kupitia mitandao ya Kijamii na vyombo vya Habari kuhusu kushindwa kukiuzia gesi asilia kwa bei rahisi kiwanda hicho.Kulia kwake ni Kaimu Kamishana wa Madini Mhandisi John Shija,Kaimu Meneja manunuzi TPDC Bw.Donal Aponde na Meneja Mawasiliano wa TPDC Bi.Maria Msellemu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...