Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TPDC, Prof. Sufian Bukurra (wa pili kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni tano kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, George Salala (wa kwanza kushoto) kwajili ya ukarabati wa Kituo cha Polisi Uwanja wa ndege Mtwara, wengine ni Kaimu Mkurugenzi wa TPDC Mhandisi, Kapuulya Musomba (kwa kwanza kulia), Mkuu wa Mkuu wa Kituo cha Polisi Uwanja wa ndege Mtwara, Inspekta, Moses Moremi (wa pili kushoto) na Kaimu Meneja wa Uwanja wa ndege Mtwara, Vita Majinge (katikati).
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Dkt. Khatibu Kazungu akitoa neno la shukurani mara baada ya kupokea mchango wa shilingi milioni tano za ukarabati wa Kituo cha Uwanja wa Ndege Mtwara kutoka TPDC.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Geroge Salala akizungumza katika wakati wa zoezi la kupokea mchango wa shilingi milioni tano za ukarabati wa Kituo cha Uwanja wa Ndege Mtwara kutoka TPDC.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...