Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega akizungumza na Makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Lukanga Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani, wakati wa katika Kikao cha Halmashauri kuu ya Kata hiyo, kufuatia ziara yake ya kuwashukuru wanaCCM wa Jimbo hilo kumchagua, iliyofanyika leo.
Diwani kata ya Mkamba, Hassan Dunda akizungumza na Makada wa CCM Kata ya Lukanga Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Katibu wa Tawi Kijiji cha Mkola, Shamte Ngelemange akichangia mada katika mkutano wa Makada wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Lukanga.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega akiwa katika picha ya pamoja na Makada wa Chama cha Mapinduzi CCM Kata ya Lukanga Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...