Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akizungumza na Vijana wajasiliamali kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania walioshiriki Mafunzo ya Siku tano ya Ujasiliamali, Fursa na Taratibu za kufanya biashara kuelekea Soko la Jumuiya ya Afrika Mashari. Nasimi alifunga mafunzo hayo yaliyomalizika juzi Nov 25, 2016 kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akizungumza na Vijana wajasiliamali kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania walioshiriki Mafunzo ya Siku tano ya Ujasiliamali, Fursa na Taratibu za kufanya biashara kuelekea Soko la Jumuiya ya Afrika Mashari. Nasimi alifunga mafunzo hayo yaliyomalizika juzi Nov 25, 2016 kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akizungumza na Vijana wajasiliamali kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania walioshiriki Mafunzo ya Siku tano ya Ujasiliamali, Fursa na Taratibu za kufanya biashara kuelekea Soko la Jumuiya ya Afrika Mashari. Nasimi alifunga mafunzo hayo yaliyomalizika juzi Nov 25, 2016 kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akifurahia na Vijana hao wakati wakiimba wimbo maalum.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...