Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida akisaini kitabu cha maombolezo, wakati alipofika nyumbani kwa Marehemu Mh. Samuel Sitta aliekuwa Spika wa Bunge na Waziri Mwandamizi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliefariki leo Novemba 7, 2016 huko nchini Ujerumani. Msiba upo Nyumbani kwa Marehemu, Masaki jijini Dar es salaam.
Mkuu
wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda (wa pili kulia) akiwa katika
mazungumzo na baadhi ya viongozi pamoja ndugu wa Marehemu Mh. Samuel
Sitta aliekuwa Spika wa Bunge na Waziri Mwandamizi katika Serikali ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliefariki leo Novemba 7, 2016 huko
nchini Ujerumani.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akisaini kitabu cha Maombolezo cha aliekuwa Spika wa Bunge na Waziri Mwandamizi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliefariki leo Novemba 7, 2016 huko nchini Ujerumani.
Sehemu ya ndugu wa Marehemu wakiwa nyumbani hapo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...