Hiki ni moja ya Kituko kilichofanya na Timu Ya Kutoka Mbozi Mbeya Jina La Timu Limehifadhiwa Kituko cha Kubadilishana Jezi Uwanjani wakati mpira ukiendelea Ikiwa ni Mechi Ya Utangulizi Dhidi ya Prison "B" na Timu ya Kutoka Mbozi jina la Timu Limehifadhiwa kabla ya Mtanange wa Yanga na Prison Kuanza..
Chukuwa Yangu Nipe Yako huku kocha kulia wa Timu ya kutoka Mbozi Akiendelea na Kazi Kama Kawaida..
Kituko kingine Ni hiki Cha Marafiki Hawa Walio Kuwa wakipigana Picha mara Baada ya Mtanange wa Yanga Na Prison Kumalizika Ndipo Wadau Hawa Walijipatia Fursa Yakupata Taswira Golini Mwa Uwanja Wa Sokoine Jijini Mbeya.
Kumbu kumbu Zikiendelea Kuchukuliwa kwa Mapozi Mbalimbali ya Bi Dada aliyokuwa akipewa na Mpiga picha aliepigwa picha akimpiga picha Rafiki yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...