Mwenyekiti wa kamisheni ya vyuo vikuu nchini(TCU), Profesa Jacob Mtabaji akizungumza na wadau mbalimbali wa masuala ya eleimu waliofika katika kongamano hilo
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi ,Profesa Joyce Ndalichako, akizungumza na wadau wa masuala ya eleimu ya juu wakati alipokuwa akifungua mkutano wa siku mbili kujadili elimu ya juu hapa nchini uliofanyika katika ukumbi wa mwalimu Nyerere.
Profesa Abdul Karim Mvuma, mtaalamu wa masuala ya Geolojia nchini Tanzania  akitoa mada katika mkutano huo .
Wadau mbalimbali wa masula ya elimu ya juu wakifatilia kwa makini mijadala mbalimbali ilikuwa ikiendeshwa katika mkutano huo.

HABARI  ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...