Wadau mbalimbali wa shuguli za usafiri wa anga nchini, wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka ya usfiri wa anga Tanzania, Bw. Hamza Johari,(wa nne kutoka kulia) wakimsikilza kwa makini mhandisi wa  mitambo ya kuongozea ndege ya  DVOR+DME , Kelvin Mwakalobo wakati walipofanya ziara  kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA)  jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho siku ya wataalam wa mitambo ya kuongoza  ndege (AIR TRAFFIC SAFETY ELECTRONICS PERSONNEL'S DAY - ATSEP- )
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamalaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, Hamza Johari  ( kushoto) pamoja na wadau mbalimbali wa usafiri a anga nchini   wakimsikiliza  mhandisi wa mtambo wa kuongozea ndege wa Rada  Marco Omari ,wakati walipofanya ziara   kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA)  jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho siku ya wataalam wa mitambo ya kuongoza  ndege.
 ya uhandisi.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamalaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, Hamza Johari  (wapili kushoto) pamoja na wadau mbalimbali wa usafiri a anga nchini   wakimsikiliza  mhandisi wa mitambo ya kuongea ndege  ili iweze kutua kwa usalama( AWOS) James Mjema ,wakati walipofanya ziara   kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA)  jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho siku ya wataalam wa mitambo ya kuongoza  ndege.
Wadau wa shuguli za usafiri wa anga nchini katika picha ya pamoja wakati wa  maadhimisho siku ya wataalam wa mitambo ya kuongoza  ndege.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...