Baadhi ya vyombo vya moto kama vionekavyo pichani vikipita pembeni ya tuta lenye shimo kubwa njia panda barabara ya Sayansi/Kijitonyama,tuta hilo ambalo limechukua nusu nzima ya barabara,na kuachwa kama lilivyo bila kuondolewa ikiwa yapata miezi miwili na ushehe hivi mpaka sasa.Tuta hilo likiendelea kuachwa hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kusababisha ajali wakati wowote,ni vyema wahusika wakachukua hatua mapema ya kuliondoa ili kuifanya barabara hiyo ipitike kwa urahisi na usalama zaidi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...