Baadhi ya vyombo vya
moto kama vionekavyo pichani vikipita pembeni ya tuta lenye shimo kubwa
njia panda barabara ya Sayansi/Kijitonyama,tuta hilo ambalo limechukua
nusu nzima ya barabara,na kuachwa kama lilivyo bila kuondolewa ikiwa
yapata miezi miwili na ushehe hivi mpaka sasa.Tuta hilo likiendelea
kuachwa hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kusababisha ajali wakati
wowote,ni vyema wahusika wakachukua hatua mapema ya kuliondoa ili
kuifanya barabara hiyo ipitike kwa urahisi na usalama zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...