Msanii wa muziki wa Singeli  Tamimu Mshauri Salum akiwapagawisha mashabiki wa  muziki huo  kwenye  tamasha Mziki Mnene linalodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika viwanja vya Gonga Ukonga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Baadhi ya wakaazi wa Ukonga jijini Dar es Salaam wakipagawa na mziki wa kizazi kipya wa Singeli wakati wa tamasha la Mziki Mnene lililofanyika katika viwanja vya Gonga na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki.
Msanii chipukizi wa mziki wa Singeli mkazi wa Ukonga jijini Dar es Salaam,Aaron Chiwaz akiwapagawisha wakazi wa mji huo  kwenye  tamasha Mziki Mnene linalodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika viwanja vya Gonga Ukonga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...