Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Clifford Tandari (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa kidato cha tano na sita wa Shule ya Sekondari ya Dar es salaam Independent (DIS), wanaosomea masomo ya biashara ambao walitembelea kituo hicho hivi karibuni ili kujifunza maswala mbali mbali yanayohusu uwekezaji. wengine pichani ni wafanyakazi wa kituo hicho.
Afisa Uhamasishaji na Uwekezaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Latifa Kigoda akifafanua jambo kwa baadhi ya wanafunzi wa kidato cha tano na sita wa Shule ya Sekondari ya Dar es salaam Independent (DIS), wanaosomea masomo ya biashara ambao walitembelea kituo hicho ili kujifunza maswala mbali mbali yanayohusu uwekezaji.
 Meneja wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Pendo Gondwe akifafanua jambo kwa baadhi ya wanafunzi wa kidato cha tano na sita wa Shule ya Sekondari ya Dar es salaam Independent (DIS), wanaosomea masomo ya biashara ambao walitembelea kituo hicho ili kujifunza maswala mbali mbali yanayohusu uwekezaji.
Meneja wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Pendo Gondwe akiwaonyesha wanafunzi hao, moja ya vyeti vinayotolewa na TIC kwa muwekezaji anayekamilisha taratibu zote za kuwekeza nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...