Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Angella Kairuki akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya uchunguzi Afisa Uchunguzi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa umma Edson Kamugisha. Hafla hiyo ilifanyika katika Chuo cha maafisa wa Jeshi la Polisi Kidatu, Mkoani Morogoro jana.
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Angella Kairuki akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya uchunguzi Katibu Msaidizi  wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa umma Evodia Pangani. Hafla hiyo ilifanyika katika Chuo cha maafisa wa Jeshi la Polisi Kidatu, Mkoani Morogoro jana. 
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Angella Kairuki akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya uchunguzi Katibu Msaidizi  Kanda ya Mashariki wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa umma Eritrudi Cyliacus Ishengoma. Hafla hiyo ilifanyika katika Chuo cha maafisa wa Jeshi la Polisi Kidatu, Mkoani Morogoro jana.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Angella Kairuki akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya uchunguzi Katibu Msaidizi  Kanda ya Mashariki wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa umma Eritrudi Cyliacus Ishengoma. Hafla hiyo ilifanyika katika Chuo cha maafisa wa Jeshi la Polisi Kidatu, Mkoani Morogoro jana. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. naona wahitimu majina yamefanana au macho yangu tu niwekeeni sawa wadau na kaka mithupu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...