Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa Waziri wa Maji
na Umwagiliaji wa Misri, Dkt. Mohamed Abdel Aty (mwenye tai nyekundu),
alimpomtembelea ofisini kwake kuona fursa mbalimbali za uwekezaji,
jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa
Misri, Dkt. Mohamed Abdel Aty (kushoto), akimuonesha Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, picha za miradi ambayo
Serikali ya Misri inaifadhili nchini Tanzania, alipomtembelea ofisini
kwake kuona fursa mbalimbali za uwekezaji.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa
Misri, Dkt. Mohamed Abdel Aty, akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, alipomtembelea ofisini
kwake, jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...