prom1
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Misri, Dkt. Mohamed Abdel Aty  (mwenye tai nyekundu), alimpomtembelea ofisini kwake kuona fursa mbalimbali za uwekezaji, jijini Dar es Salaam.
prom2
Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Misri, Dkt. Mohamed Abdel Aty (kushoto), akimuonesha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, picha za miradi ambayo Serikali ya Misri inaifadhili nchini Tanzania, alipomtembelea ofisini kwake kuona fursa mbalimbali za uwekezaji.
prom4

Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Misri, Dkt. Mohamed Abdel Aty, akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, alipomtembelea ofisini kwake, jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...