Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (wa tatu kushoto), pamoja na viongozi wengine wakikata keki kuashiria mahusiano mema baina ya nchi hizo mbili katika sherehe za miaka 46 ya Usultani wa Oman, iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
sult5
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akimpongeza mshindi wa tiketi ya kwenda Oman aliyoshinda katika sherehe za miaka 46 ya Usultani wa Oman, iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
sult6
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akizungumza na wageni waalikwa waliohudhuria sherehe za miaka 46 ya Usultani wa Oman, iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
sult1
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akisalimiana na Naibu Balozi wa Ufalme wa Oman, Mohammed Al Rawahi, kwenye sherehe za miaka 46 ya Usultani wa Oman, iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
sult2
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akiteta jambo na Naibu Balozi wa Ufalme wa Oman Mohammed Al Rawahi kwenye sherehe za miaka 46 ya Usultani wa Oman, ilyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
sult3
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akizungumza na viongozi na wadau mbalimbali waliohudhuria kwenye sherehe za miaka 46 ya Usultani wa Oman, iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...