SIMU.tv: Ni lini serikali itaanza ujenzi wa barabra ya kilimita 10 ndani ya mji wa Nzega? Swali kutoka kwa mbunge wa Nzega Mhe. Bashe. https://youtu.be/W_4h6Lwn_3c

SIMU.tv: Kwanini serikali ya  jamhuri China isichangie gharama za matibabu kwa wananchi wanaopata ajali za bodaboda? Haya majibu ya serikali; https://youtu.be/2IQQaxie1hk

SIMU.tv: Je,serikali imeandaa utaratibu gani wa kukagua watoto wa umri chini ya miaka 5 ili kufahamu kama wamekeketwa? Haya hapa majibu ya serikali. https://youtu.be/5Aq-auXFpeU

SIMU.tv: Serikali yatolea ufafanuzi kuhusu wachimbaji wadogo wa dhahabu jimbo la Mbongwe kupewa maeneo ya kuchimba. https://youtu.be/aMXU-GjpOqU

SIMU.tv: Je,serikali imefikia hatua gani kuhusu kuwatafutia soko wakulima wa mazao mbalimbali nchini? Hapa waziri Charles Mwijage anafafanua. https://youtu.be/FhCQ-QU4Fns

SIMU.tv: Je, serikali ina mpango gani wa kuhalalisha viwanda vya kutengeneza kinywaji cha Gongo ili kuchochea uchumi wa kati? Haya hapa majibu. https://youtu.be/TzosIy7YMrI

SIMU.tv: Je, ni nini umuhimu wa kuwa na mabaraza ya ardhi nchini? Hapa naibu waziri wizara ya ardhi Mhe. Mabula anatoa ufafanuzi; https://youtu.be/gNPkuCYpXGg

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...