Mtaalamu wa Usalama wa Mtandao nchini  Bw. Yusuph Kileo akipokea tuzo kama  Mtaalamu wa Usalama Mtandao wa Mwaka (Cybersecurity expert of the year) ikiwa ni katika kutambua mchango wake  katika mataifa ya Afrika. Mgeni rasmi kwenye hafla hiyo iliyofanyika jana jijini Nairobi alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya mipango na Majimbo (Ugatuzi)  wa  Kenya Mhe. Saitoti Torome. Jumla  tuzo 31 category tofauti zilitotela.
 Mtaalamu wa Usalama Mtandao  nchini  Bw. Yusuph Kileo akipokea tuzo kama  Mtaalamu wa Usalama Mtandao wa Mwaka (Cybersecurity expert of the year)  akishukuru baada ya kukabodhiwa tuzo hiyo.
  
 Mtaalamu wa Usalama Mtandao  nchini Bw. Yusuph Kileo baada ya kupokea  tuzo kama  Mtaalamu wa Usalama Mtandao wa Mwaka (Cybersecurity expert of the year).
Globu ya Jamii inampongeza Mzalendo huyu ambaye amekuwa akihaha usiku na mchana kuhakikisha ujumbe wa umuhimu wa kuwekeza katika mapambano uhalifu mtandao na usalama mtandao katika kila nyanja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...