MKE wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman akitowa nasaha zake kwa Wanawake wa UWT Wilaya ya Micheweni Pemba wakati wa Mkutano wa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, kutowa shukrani kwao
MKE wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Muasisi wa Umoja wa Wanawake Mama Fatma Karume akizungumza wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kityuo cha Walimu Wingwi Micheweni Pemba kutowa shukrani kwa Wanawake wa Pemba.
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Wanawake wa UWT Wilaya ya Micheweni kutowa shukraza kwa kuwapigia kura Wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu uliopita, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Kituo cha Walimu Skuli ya Wingwi Micheweni.
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Wanawake wa UWT Wilaya ya Micheweni kutowa shukraza kwa kuwapigia kura Wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu uliopita, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Kituo cha Walimu Skuli ya Wingwi Micheweni
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Wanawake wa UWT Wilaya ya Micheweni kutowa shukraza kwa kuwapigia kura Wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu uliopita, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Kituo cha Walimu Skuli ya Wingwi Micheweni.(Picha zote na Othman Maulid)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...