Makamu
Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akisaini kitabu cha maombolezo
ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa Balozi wa
Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo (aliyesimama), Mtaa wa Alli
Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akimpa pole Balozi wa
Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo baada ya kusaini kitabu cha
maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa
balozi huyo,, Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Kushoto ni Waziri wa zamani Adamu Malima ambaye naye alifika kusaini
kitabu hicho
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akimpa pole Balozi wa
Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo baada ya kusaini kitabu cha
maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa
balozi huyo,, Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Makamu
Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akizungumza na Balozi wa Chuba
hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo baada ya kusaini kitabu cha
maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa
balozi huyo,, Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...