Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa Balozi wa Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo (aliyesimama), Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam.
  Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akimpa pole  Balozi wa Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa balozi huyo,, Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri wa zamani Adamu Malima ambaye naye alifika kusaini kitabu hicho
  Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akimpa pole  Balozi wa Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa balozi huyo,, Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam. 
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akizungumza na Balozi wa Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa balozi huyo,, Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...