Mtoto wa aliyekuwa, Mbunge wa jimbo la Mji Mkongwe, Ibrahim Sanya (CUF),  Waheed Muhammad Sanya aingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea ubunge kwa jimbo la dimani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo.
Waheed Muhammad sanya ,mhadhiri wa Chuo kikuu cha taifa Zanzibar -SUZA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...