Mshehereshaji katika Tamasha la Kimataifa la Maonyesho ya Mitindo la "Swahili Fashion Week" lililoanza rasmi usiku wa Desemba 2, 2016 katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es salaam, Lilian Kamazima akizungumza wakati wa kuwashukuru wadhamini mbalimbali waliolifanikisha Tamasha hilo, ikiwemo Globu ya Jamii. Tamasha hilo lileanza rasmi Desemba 2 na linatarajiwa kumalizika Desemba 4, 2016.

Mbunifu wa Mitindo ya Mavazi nchini, Jamilla VeraSwai akipita jukwaani baada ya Wanamitindo kuonyesha mavazi yake.
Mbunifu wa Mitindo ya Mavazi nchini, Lilian Patropa akipita jukwaani kuwashukuru watazamaji baada ya Wanamitindo kupita kuonyesha mavazi yake.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...