Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi Mhe. Willam Lukuvi akiwa katika ziara ya Utatuzi wa
Migogoro ya Ardhi Mkoani Kigoma amerudisha ardhi iliyokuwa ikimilikiwa na Mzee Shaban
Hussein mkazi wa Machinjioni Kigoma Mjini, ambaye alinyng’anywa na Raia wa
Kongo Bwana Mwenge Muyombi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Nimeipenda approach ya Lukuvi ,anatatua huku anafundisha na kuelekeza nini cha kufanya ,Viongozi wanatakiwa wawe namna hiii!!
ReplyDelete