Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba akiongea na Wahahariri wa Jukwaa la Wahariri (hawapo pichani) kuhusu ziara ya mazingira aliyoifanya katika mikoa mikumi Nchini Tanzania manamo mwezi wa Novemba. Aliyeko katikati ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Mbarak Abdulwakil na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Richard Muyungi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba akionyesha kwa Wahariri wa vyombo vya habari, picha tofauti za maeneo mbalimbali aliyotembelea wakati wa ziara yake ya kutembelea Mikoa 10 Nchini kuangalia athari za mazingira.
Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Richard Muyungi akiongea wakati wa Mkutano huo.
Sehemu ya Wahariri na Waaandishi wa Habari mbalimbali waliohudhuria mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba alipoongea nao Ofisini kwakae kuongelea ziara yake aliyoifanya kwa mikoa 10 Nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...