Pichani kati ni kile kilichokuwa kiota maarufu cha maraha katikati ya jiji la Dar,kilichojulikana kwa jina la Billicanas Club,tayari kwa asilimia kubwa kimeishabomolewa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),kama uonavyo pichani,baada ya kunaswa na Camera ya Globu ya Jamii.
Shirika la Nyumba la Taifa
(NHC) linaendelea kwa kasi kubomoa jengo la iliyokuwa Klabu Bilicanas.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...