Pichani kati ni kile kilichokuwa kiota maarufu cha maraha katikati ya jiji la Dar,kilichojulikana kwa jina la  Billicanas Club,tayari kwa asilimia kubwa kimeishabomolewa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),kama uonavyo pichani,baada ya kunaswa na Camera ya Globu ya Jamii.
Shirika  la Nyumba la Taifa (NHC) linaendelea kwa kasi kubomoa jengo la iliyokuwa Klabu Bilicanas.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...