Rais wa Jamhuri ya Uturuki, Mhe. Recep Tayyip Erdogan akiwa ameambana na mkewe Mama Emine Erdogan, wakiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Mhe. Rais Erdogan atakuwa nchini kwa ziara ya siku mbili kuanzia leo tarehe 22 Januari, 2017.
RAIS
wa Uturuki Mheshimiwa Recep Erdogan amewasili nchini leo jioni (Jumapili,
Januari 22, 2017) kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kupokelewa katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kupokelewa na Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa na niaba ya Mheshimiwa Rais. Dkt. John Magufuli.
Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa akiteta jambo na mgeni wake
RAIS wa Uturuki Mheshimiwa Recep Erdogan mara baada ya kuwasili nchini leo jioni (Jumapili, Januari 22, 2017) kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kupokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,kulia ni mke wa Rais wa Uturuki,Mama Emine Erdogan
RAIS wa Uturuki Mheshimiwa Recep Erdogan mara baada ya kuwasili nchini leo jioni (Jumapili, Januari 22, 2017) kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kupokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,kulia ni mke wa Rais wa Uturuki,Mama Emine Erdogan
RAIS
wa Uturuki Mheshimiwa Recep Erdogan amewasili nchini leo jioni (Jumapili,
Januari 22, 2017) kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kupokelewa katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kupokelewa na Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa na niaba ya Mheshimiwa Rais. Dkt. John Magufuli.
Rais huyo ameambatana na mkewe Mama Emine Erdogan pamoja
na Mawaziri watatu ambao ni Waziri wa Mambo ya Nje Mheshimiwa Mevlüt Çavuşoğlu,
Waziri wa Uchumi Mheshimiwa Nihat
Zeybekekci na Waziri wa Nishati na Maliasili Mheshimiwa Berat Albayrak. Pia
Rais huyo ameambatana na wafanyabiashara wapatao 85 wa nchi hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...