SIMU.TV: Ujenzi wa kiwanda kikubwa cha vigae mkoani Pwani umeelezwa kuwa unaendela vizuri na kinatarajiwa kuanza uzalishaji ifikapo julai mwaka huu. https://youtu.be/2-aT3PPQl6g
SIMU.TV: Mamia ya wananchi katika jimbo la Dimani leo wamejitokeza kupiga kura ya kumchagua mbunge huku ulinzi ukiwa umeimarishwa katika vituo vyote. https://youtu.be/ZuMPbwiH_24
SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo ameuagiza uongozi wa wilaya ya Rufiji kufanya uchunguzi ili kubaini kama kuna watu wanao jihusisha na uvunaji wa mazao ya misitu kinyume na sheria. https://youtu.be/ef1rnm5Q3co
SIMU.TV: Mchakato wa utatuzi wa mgogoro wa Ardhi katika pori tengefu la Loliondo umeonekana kuwa mgumu baada ya mkuu wa mkoa wa Arusha kuunda timu nyingine kuainisha maeneo muhimu ya hifadhi. https://youtu.be/0Zyn7dNtoUA
SIMU.TV: Serikali wilayani Hai mkoani Kilimanjaro imemtaka mwekezaji katika shamba la mboga mboga la Kilimanjaro Vegetables kusitisha shughuli zake kutoka na kukiuka sheria. https://youtu.be/-ktXIMxifcY
SIMU.TV: Wafugaji wa kabila la Baribaig wamegoma kuondoaka katika hifadhi ya jamii ya ziwa Mburuge licha ya serikali ya kijiji kuwataka kuondoka. https://youtu.be/IGP2ePptkec
SIMU.TV: Wananchi wa mtaa wa Polisi katika manispaa ya Songea wameiomba serikali kubomoa nyumba ya mwenyekiti wa CCM Ally Mandamba ambayo imejengwa katikati ya barabara. https://youtu.be/QYuls3Op-Fg
SIMU.TV: Beki mahiri wa klabu ya Simba Method Mwanjali amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi desemba wa ligi kuu Tanzania bara. https://youtu.be/bKFBAgR_8ek
SIMU.TV: Watumishi wa idara za serikali wamehimizwa kushiriki katika mazoezi na michezo mbalimbali ili kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza. https://youtu.be/5WcMmJGRee4
SIMU.TV: Nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta ameendelea kung’ara katika ligi ya Ubelgiji baada ya hapo jana kuifungia bao la ushindi timu yake ya Genk. https://youtu.be/zjVxxdcB1IQ
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...