Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali,( PAC) wakikagua utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini cha Nyigo , Mufindi mkoani Iringa, Kamati hiyo inaongozwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani pamoja na Watendaji kutoka Wakala ya Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme nchini ( Tanesco)
Moja ya mashine za kusaga na kukoboa nafaka katika kijiji cha Nyigo, Mufindi mkoani Iringa inayotumia umeme baada ya kuunganishwa na Mradi wa Umeme Vijijini.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali,( PAC) wakimsikiliza Meneja wa Tanesco Mufindi, wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini. Kamati PAC imeambatana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani pamoja na watendaji kutoka Wakala ya Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme nchini ( Tanesco)
Mwenyekiti wa Shirika lisilo la kiserikali linalohusika na utunzaji wa mazingira, Mufindi Environmental Trust,( MUET) Godfrey Mosha,( wa pili kushoto) akiwaonyesha Transfoma ( haipo pichani) Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali,( PAC ) na Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani. MUET imeunganishwa na huduma ya umeme, kupitia mradi wa umeme vijijini ili kuendesha kituo cha kupumzikia wasafiri.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...