Kundi maarufu la wapenzi,washabiki na wanachama wa Simba SC (NGURUMO ZA SIMBA) limefanya uchaguzi wa viongozi wake watakaoongoza kwa kipindi cha miaka minne. Uchaguzi umefanyika jana huko Kitumbini jijini Dar es Salaam.
Waliochaguliwa ni:
MWENYEKITI : ABUUBAKAR SHAABAN, MAKAMU MWENYEKITI: AMINA SAID "EMMY CAZORLA".
WAJUMBE KAMATI YA UTENDAJI:1.SALUM HAMAD, 2.MWANAIDI MBWERA, 3.ABUBAKAR, MWINCHANDE NA 4.CRIS MLAGANI.
Pichani viongozi wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...