Kundi maarufu la wapenzi,washabiki na wanachama wa Simba SC (NGURUMO ZA SIMBA) limefanya uchaguzi wa viongozi wake watakaoongoza kwa kipindi cha miaka minne. Uchaguzi umefanyika jana huko Kitumbini  jijini Dar es Salaam.
Waliochaguliwa ni:
MWENYEKITI : ABUUBAKAR SHAABAN, MAKAMU MWENYEKITI: AMINA SAID "EMMY CAZORLA".
WAJUMBE KAMATI YA UTENDAJI:1.SALUM HAMAD, 2.MWANAIDI MBWERA, 3.ABUBAKAR, MWINCHANDE NA 4.CRIS MLAGANI.
Pichani viongozi wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...