Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akifanyiwa uchunguzi wa macho na madaktari kutoka Shirika la Specsavers la Sweden walipofika Zanzibar kutoa huduma hizo.
Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akifanyiwa uchunguzi wa macho na madaktari kutoka Shirika la Specsavers la Sweden walipofika Zanzibar kutoa huduma hizo.
Dkt. Happiness Urasa kutoka Shirika la Specsavers na Dkt. Abdulrahman Abdalla wa Kliniki ya macho Mikunguni wakiwafanyia kipimo cha uoni wa mbali wa macho wagonjwa waliofika Skuli ya Kiembesamaki kwa ajili ya kupatiwa miwani.
Baadhi ya wananchi waliofika Skuli ya msingi Kiembesamaki wakisubiri zamu zao kupimwa uoni wa macho na kupatiwa miwani.
Daktari wa macho kutoka Shirika la Specsavers la Swiden akiwachagulia miwani wananchi waliopatiwa huduma ya kupimwa uoni wa macho waliofika Skuli ya msingi Kiembesamaki kupatiwa huduma hiyo.
Picha na Makame Mshenga-Maelezo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...