Mwenyekiti wa Bodi NHIF na Spika mstaafu wa Bunge mama Anna Makinda akisisitiza juu ya kuboreshwa huduma katika mfuko wa Bima ya afya wa Taifa. 
Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akifungua mkutano wa wadau wa Mfuko wa Bima wa Taifa Mkoani Humo.
Baadhi ya wajumbe wakiwa kwenye mkutano huo wakisikiliza taarifa ya utekelezaji wa shughuli za NHIF.
Kaimu Mkurugenzi wa NHIF Angela Mziray akifafanua namna ambavyo NHIF imekuwa ikisaidia wa gonjwa wenye magonjwa yasiyoambukiza.
Meneja wa NHIF Mkoani Geita Mathias Sweya akielezea namna ambavyo shughuli za kuandikisha wanachama wapya jinsi zikifanyika Mkoani Geita .
Wajumbe wakiendelea kufatilia mkutano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...