Mikutano mikubwa mitatu atakayofanya Sheikh Shariff Majini kwa siku tatu mfululizo kuanzia Ijumaa tarehe 24-02-2017 mpaka siku ya Jumapili tarehe 26-02-2017 katika Viwanja vya Mbagala Zakheim jijini Dar es salaam kuanzia mida ya saa nane mchana mpaka kumi na mbili jioni. 
Mikutano ni kwa ajili ya kuendesha kongamano la Khofu ya Mungu pamoja na kufanya DUA kwa wale wote wenye kila aina ya shida.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...