Moja ya gari la jeshi lililokuwa limebeba vifaa vya ofisi vya watumishi
wa Wizara ya Maliasili na Utalii likiondoka rasmi makao makuu ya wizara
hiyo leo kuelekea mjini Dodoma. (Picha na Hamza Temba - WMU)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe akiaga msafara wa
magari yaliyobeba vifaa vya ofisi vya kundi la kwanza la watumishi wa
wizara hiyo wanaohamia Makao Makuu ya Nchi Mjini Dodoma nje ya jengo kuu
la Wizara hiyo (Mpingo House) Jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Hamza
Temba - WMU)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...