Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Hai  Bw. Yohana Sintoo (wa kwanza kushoto),Mkuu wa Wilaya ya Hai Mhe. Gelasius Gasper Byakanwa (katikati) wakimsikiliza Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Mhe. Upendo Wela akitoa maelezo wakati wa makubaliano ya kila mtu kupanda miti ikiwa ni pamoja na viongozi wa Dini zote  kutokana na hali halisi ya uharibifu wa mazingira katika ziwa Boloti. Kwa habari zaidi za wilaya ya Hai tembelea blog yao: BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...