Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Hai Bw. Yohana Sintoo (wa kwanza kushoto),Mkuu wa Wilaya ya Hai Mhe. Gelasius Gasper Byakanwa (katikati) wakimsikiliza Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Mhe. Upendo Wela akitoa maelezo wakati wa makubaliano ya kila mtu kupanda miti ikiwa ni pamoja na viongozi wa Dini zote kutokana na hali halisi ya uharibifu wa mazingira katika ziwa Boloti. Kwa habari zaidi za wilaya ya Hai tembelea blog yao: BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
VIONGOZI WILAYANI HAI MKOANI KILIMANJARO WAKUNA VICHWA KULINUSURU ZIWA BOLOTI NA MAZINGIRA YAKE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...