Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania,Ashutosh Tiwary(kulia)akimkabidhi simu aina ya Samsung Galaxy S6 edge plus,Ahasina Omary alieibuka mshindi katika mbio za walemavu za Kilimanjaro zilizofanyika mwishoni mwa wiki,Vodacom Tanzania iliwafanyia hafla fupi baadhi ya washindi watanzania ili kuwapa moyo Watanzania hao wajitume zaidi siku zijazo.
 Baadhi ya wanariadha watanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu wa chama cha riadha Tanzania(kulia)baada ya kukabidhiwa zawadi zao za simu aina ya Samsung Galaxy S6 edge plus na Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania,Ashutosh Tiwary(wapili kulia)wakati  wa  hafla fupi iliyoandaliwa na  Vodacom Tanzania kwa ajili ya wanariadha  watanzania ili kuwapa moyo kujituma zaidi siku zijazo.
 Mwanariadha Mtanzania alieshiriki mbio z nusu marathoni na kushika nafasi ya 11,Joseph Teophil kipoke zawadi ya simu aina ya Samsung Galaxy S6 edge plus toka kwa Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania,Ashutosh Tiwary(kulia)wakati  wa  hafla fupi iliyoandaliwa na  Vodacom Tanzania kwa ajili ya wanariadha  watanzania ili kuwapa moyo wajitume zaidi siku zijazo,Kushoto ni Banuelia Brigton

Mkuu wa kanda ya Kasikazini wa  Vodacom Tanzania,Henry Tzamburakis(kulia)akimkabidhi simu aina ya Samsung Galaxy S6 edge plus,Peter Sulle alieshika nafasi ya 17 katika  mbio za Kilimanjaro Marathoni KM 42 zilizofanyika mwishoni mwa wiki,Vodacom Tanzania iliwafanyia hafla fupi baadhi ya washindi watanzania ili kuwapa moyo  kujituma zaidi siku zijazo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...